Funga mwaka yangu ni hii hapa: Acha kutamani kiti cha hukumu cha Mungu.

Friday, December 14, 2012

Namshukuru Mungu aliyeniwezesha kuiona siku ya leo, na ningependa tujifunze jambo hili.. watu wengi wamekuwa mstari wa mbele kuhukumu wengine na kuwanyooshe vidole, wakasahau Yesu aliposema katika Math. 7:1-5 Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi. Kwakuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayo hukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa.Basu, mbona wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti iliyo ndani ya jicho lako huiangalii? Au utamwambiaje nduguyo, niache nikitoe kibanzi katika jicho lako; kumbe mna boriti ndani ya jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe, itoe kwanza ile boriti katika jicho lako mwenyewe; ndipo utakapoona vyema kukitoa kile kibanzi katika jicho la ndugu yako."

Hili neno linatufundisha kwamba tuache tabia ya kuhukumu wengine, tusipende kuhukumu kwa kazi ya kuhukumu ni ya Mungu pekee. Hapa elewa sitetei dhambi, kama mtu amefanya dhambi muonye na kumfundisha njia sahihi na sio kumhukumu na kumnyooshea vidole. Utamkuta mtu mwingine amemwona mwenzake kakosea badala ya kumuonya anakuwa mstari wa mbele kutangaza kila mahali kosa la yule mtu, wakati yawezekana kosa hilohilo huyu mtu analifanya kwa siri.

Nataka nikupe mfano ili ujue unavyomhukumu mwingine na wewe yawezekana uko kwenye mstari huohuo sema hujui. Hata Yesu aliposema haya maneno aliona mbali sana. Angalia hapa dhambi zinavyofanana alafu ndo uwe wa kwanza kusogea karibu na kiti cha hukumu uhukumu wengine. Aliyezini na aliyemtazama mwanamke kwa kumtamani au aliyemtamani mwanaume wote wamezini, aliyechukua cream akajichubua na aliyeenda photo studio na kupiga picha alafu akaomba waedit hiyo picha na kuondoa vidoa doa vya asili vilivyoko kwenye picha halisi au chunusi, wote wamekosoa uumbaji wa Mungu, aliyechukua bastola akamwua mtu na aliyetamka kwa maneno au aliyetumia maneno kuumiza wengine wote ni wauwaji, unatekata nywele zako wakati umepewa zirefuke na anayesukia weaving wote mmekosoa uumbaji wa Mungu, kusingizia, kusema uongo, wizi, ufisadi, dharau, na mengine kama hayo yote ni dhambi, aliyelewa mvinyo na aliye kula kwa ulafi ndo wale wale.. sasa huwezi mhukumu mtu yeyote, wala hakuna anayestahili kusongea karibu na kiti cha hukumu cha Mungu, kama mtu amekosea muombee rehema kwa Mungu na umuonye. Kumbuka hakuna dhambi ndogo wala kubwa, zote ni dhambi,, huwezi sema uwongo alafu umhukumu aliyeiba, huwezi msingizia mtu alafu umhukumu aliyeua..

Nakutakia kila laheri katika maandalizi ya Christmas na mwaka mpya, tukutane mwaka ujao katika blog hii kwaajili ya kujifunza mengi ya kimwili na kiroho pia, pia utakuwa unapata habari mbalimbali zinazohusu urembo na style mbalimbali za mavazi na nywele.

9 HEALTH BENEFITS OF ORANGE

Sunday, October 21, 2012

 


Oranges are available from winter through summer. They can be sweet, bitter and sour depending on their variety. Oranges are a good source of Vitamin C and flavonoids. They are also rich in Vitamin A, B complex vitamins, amino acids, beta carotene, pectin, potassium, folic acid, calcium, iodine, phosphorus, sodium, zinc, manganese, chlorine and iron.


Health Benefits of Oranges Are:

• Oranges are a very good source of Vitamin C which is an antioxidant. This helps to fight against the free radicals in the body so helps to avoid many diseases. Vitamin C is also required for the healthy tissues and immune system and it is also required for the absorption of iron and for preventing recurrent cold and cough.

• Oranges contain good amount of fiber which helps to maintain the blood sugar levels and it contains natural fruit sugar fructose which helps to maintain blood sugar level after eating it. Fiber also helps to reduce high cholesterol levels thus preventing the condition called as atherosclerosis. Fiber also helps to prevent constipation.

• Oranges also contains folate which is required for the healthy cell production in the body and lowering the levels of homocysteine which is beneficial for avoiding the heart diseases Plus it contains potassium which also help to lower down the high BP so we can say that oranges are good for heart health.

• Researches show that orange helps to lower the risk of gastric ulcers.

• As oranges are rich in antioxidants so helps to minimize the signs of aging.

• Oranges have a phytochemical known as zeaxanthin which helps to avoid inflammations and useful to prevent rheumatoid arthritis.


• Oranges contain good amount of Vitamin A which is helpful for a good immune system, avoids many cancers, good for eyes, skin and hair

• Orange is low in calorie, fats and contains no cholesterol and rich in dietary fiber Pectin. Pectin acts as a bulk to the stools, helps to protect the colon and bind the cancer causing chemicals in the colon.


• Because of low fat content oranges are great foods for weight loss. They can also be given to the diabetics as they maintain the blood sugar levels in the body.

So from the above health benefits we can see that an orange is not only rich source of Vitamin C but also gives some other important health benefits which are required for the daily bodily functions. It can be taken in any form like in juice or fruit; it can be used in salads also. So we should include them in our diet to obtain the maximum health.

9 HEALTH BENEFITS OF ORANGE

Friday, May 18, 2012


Oranges are available from winter through summer. They can be sweet, bitter and sour depending on their variety. Oranges are a good source of Vitamin C and flavonoids. They are also rich in Vitamin A, B complex vitamins, amino acids, beta carotene, pectin, potassium, folic acid, calcium, iodine, phosphorus, sodium, zinc, manganese, chlorine and iron.


Health Benefits of Oranges Are:

• Oranges are a very good source of Vitamin C which is an antioxidant. This helps to fight against the free radicals in the body so helps to avoid many diseases. Vitamin C is also required for the healthy tissues and immune system and it is also required for the absorption of iron and for preventing recurrent cold and cough.

• Oranges contain good amount of fiber which helps to maintain the blood sugar levels and it contains natural fruit sugar fructose which helps to maintain blood sugar level after eating it. Fiber also helps to reduce high cholesterol levels thus preventing the condition called as atherosclerosis. Fiber also helps to prevent constipation.

• Oranges also contains folate which is required for the healthy cell production in the body and lowering the levels of homocysteine which is beneficial for avoiding the heart diseases Plus it contains potassium which also help to lower down the high BP so we can say that oranges are good for heart health.

• Researches show that orange helps to lower the risk of gastric ulcers.

• As oranges are rich in antioxidants so helps to minimize the signs of aging.

• Oranges have a phytochemical known as zeaxanthin which helps to avoid inflammations and useful to prevent rheumatoid arthritis.


• Oranges contain good amount of Vitamin A which is helpful for a good immune system, avoids many cancers, good for eyes, skin and hair

• Orange is low in calorie, fats and contains no cholesterol and rich in dietary fiber Pectin. Pectin acts as a bulk to the stools, helps to protect the colon and bind the cancer causing chemicals in the colon.


• Because of low fat content oranges are great foods for weight loss. They can also be given to the diabetics as they maintain the blood sugar levels in the body.

So from the above health benefits we can see that an orange is not only rich source of Vitamin C but also gives some other important health benefits which are required for the daily bodily functions. It can be taken in any form like in juice or fruit; it can be used in salads also. So we should include them in our diet to obtain the maximum health.

NENO LA MUNGU NI SILAHA

Imeandikwa mpingeni shetani naye atawakimbia. Na silaha pekee ya kumshinda ni upanga unaokata kuwili ambao ni neno la Mungu pekee. Yesu mwenyewe alitumia upanga huu wa neno la Mungu (Mathayo 4:4-11) tunatakiwa kunoa huu upanga kwa kusoma neno la Mungu mara kwa mara ili neno hili likae kwa wingi mioyoni mwetu. Na kila tunalopitia katika maisha yetu, iwe furaha au huzuni, lipo neno maalum ambalo limeandikwa katika bibilia tunatakiwa kusimamia. Na ukiweza kugundua siri hii kila litakalotokea katika maisha yako utakua hauna shaka bali utasema tu imeandikwa, kila jambo lina wakati wake, imeandikwa kwa kupigwa kwake tumepona, imeandikwa amebarikiwa mtu yule amtegemeaye Bwana nk.


Wengi tunatumia nguvu nyingi sana kumpinga shetani wakati yeye ni kijitu kidogo sana ambacho ukitumia silaha ya neno la Mungu tu huna haja ya kujichosha badala yake hizo nguvu zitumie katika kumsifu na kumwabudu Mungu ambaye anakaa katikati ya sifa!


Tuangalie mfano wa Yesu alipojaribiwa, alikua na uwezo wa kumtandika shetani makofi na kumharibu kabisa, lakini aliona hana sababu ya kujichosha wakati tayari Mungu ameweka upanga maalum wa kumuadhibu shetani ambao ni neno la Mungu pekee. Ndio maana kila Yesu alipojaribiwa alitumia neno "imeandikwa" mwisho wa siku shetani alimkimbia. Mungu akubariki wewe uliyesoma ujumbe huu!

KILA SEKUNDE KATIKA MAISHA YAKO NI YA THAMANI SANA!

Angalia sana jinsi unavyotumia muda wako, kwani kila sekunde ikishapita haiwezi kujirudia tena milele. Jitahidi sana kutenda mambo mazuri, kubuni vitu mbalimbali na pia kuwa mfano wa kuigwa kwa wengine ili hata baadae ukiwa haupo, watakaokuwepo waweze kujivunia mambo yako mazuri uliyoyafanya.

Wapo watu wengi sana ambao walifanya mambo ambayo sio mazuri na wakajisahau kabisa wakidhani  kuwa muda umesimama kuwangoja, kilichowapata ni kwamba, walipokuja kushtuka wakaanza kujutia na kutamani kurudisha muda nyuma ili wajirekebishe kitu ambacho hakikuwezekana.

Pangilia muda wako vizuri, na utumie kila sekunde vizuri katika kujiletea maendeleo, kwani kuna msemo usemao "time is money"

Barikiwa!